Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, kama mke wa mtu yeyote akikengeuka, na kumkosa mumewe,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,

Tazama sura Nakili




Hesabu 5:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Hii ndiyo sheria ya wivu, mwanamke, ambaye yu chini ya mumewe, akikengeuka, na kupata unajisi;


Mtu akiisha kutwaa mke kwa kumwoa, asipopata kibali machoni mwake, kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake, na kumtoa katika nyumba yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo