Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 4:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Na hao waliohesabiwa katika wana wa Gershoni, kwa jamaa zao na nyumba za baba zao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Idadi ya watu wa ukoo wa Gershoni kufuatana na familia zao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Idadi ya watu wa ukoo wa Gershoni kufuatana na familia zao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Idadi ya watu wa ukoo wa Gershoni kufuatana na familia zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Hesabu 4:38
4 Marejeleo ya Msalaba  

na wale waliohesabiwa kwa nasaba ya makuhani kufuata nyumba za baba zao, na Walawi, wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, katika sehemu yao, kwa kadiri ya zamu zao;


Hao waliohesabiwa kwao, kama hesabu ya wanaume wote, kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu saba na mia tano.


Hao ndio waliohesabiwa katika jamaa za Wakohathi, wote waliotumika katika hema ya kukutania, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA kwa mkono wa Musa.


kuanzia wenye umri wa miaka thelathini na zaidi, hadi umri wa miaka hamsini, kila mtu aliyeingia katika utumishi, kwa kazi katika hema ya kukutania,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo