Hesabu 36:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Waliolewa katika jamaa za wana wa Manase, mwana wa Yusufu, na urithi wao ukakaa katika kabila la jamaa ya baba yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Waliolewa katika jamaa za ukoo wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika kabila la baba yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Waliolewa katika jamaa za ukoo wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika kabila la baba yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Waliolewa katika jamaa za ukoo wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika kabila la baba yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Waliolewa ndani ya koo za wazao wa Manase mwana wa Yusufu, na urithi wao ukabaki katika ukoo na kabila la baba yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Waliolewa ndani ya koo za wazao wa Manase mwana wa Yusufu, na urithi wao ukabaki katika ukoo na kabila la baba yao. Tazama sura |