Hesabu 35:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Kwa hiyo msiitie unajisi nchi mwishiyo ambayo nami nakaa kati yake; kwa kuwa mimi BWANA nakaa kati ya wana wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Msiitie unajisi nchi ambayo mnakaa, nchi ambayo mimi ninakaa; maana mimi Mwenyezi-Mungu ninakaa miongoni mwenu Waisraeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Msiitie unajisi nchi ambayo mnakaa, nchi ambayo mimi ninakaa; maana mimi Mwenyezi-Mungu ninakaa miongoni mwenu Waisraeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Msiitie unajisi nchi ambayo mnakaa, nchi ambayo mimi ninakaa; maana mimi Mwenyezi-Mungu ninakaa miongoni mwenu Waisraeli.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Msiinajisi nchi mnayoishi, ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi, Mwenyezi Mungu, ninakaa katikati ya Waisraeli.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Msiinajisi nchi mnayoishi, ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi, bwana, ninakaa katikati ya Waisraeli.’ ” Tazama sura |