Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 35:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Lakini kama mwenye kumwua mtu akienda wakati wowote kupita mpaka wa huo mji wa makimbilio, alioukimbilia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Lakini huyo aliyeua akitoka nje ya mji aliokimbilia wakati wowote ule,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Lakini huyo aliyeua akitoka nje ya mji aliokimbilia wakati wowote ule,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Lakini huyo aliyeua akitoka nje ya mji aliokimbilia wakati wowote ule,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 “ ‘Lakini kama mshtakiwa atatoka nje ya mipaka ya mji wa makimbilio ambao amekimbilia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 “ ‘Lakini kama mshtakiwa atatoka nje ya mipaka ya mji wa makimbilio ambao amekimbilia,

Tazama sura Nakili




Hesabu 35:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

nao mkutano utamwokoa yule aliyemwua mtu na mkono wa mwenye kulipiza kisasi cha damu; tena mkutano utamrejesha katika mji wake wa makimbilio, aliokuwa anaukimbilia; naye atakaa humo hata kifo chake kuhani mkuu, aliyepakwa mafuta matakatifu.


na mwenye kutwaa kisasi cha damu akamwona, naye yuko nje ya mpaka wa mji wake wa makimbilio, na mwenye kutwaa kisasi cha damu akamwua huyo mwuaji, hatakuwa na hatia ya damu;


Itakuwa mtu awaye yote atakayetoka katika mlango wa nyumba yako kwenda njiani, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe, na sisi tutakuwa hatuna hatia; na mtu atakayekuwa ndani ya nyumba yako damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu, mkono wa mtu ukimpata.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo