Hesabu 35:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 ndipo mkutano utaamua kati ya huyo aliyempiga mtu na huyo atakayelipiza kisasi cha damu, kama hukumu hizi zilivyo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 basi, jumuiya itaamua kati ya huyo mwuaji na jamaa ya mtu aliyeuawa anayetaka kulipiza kisasi, kulingana na sheria hizi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 basi, jumuiya itaamua kati ya huyo mwuaji na jamaa ya mtu aliyeuawa anayetaka kulipiza kisasi, kulingana na sheria hizi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 basi, jumuiya itaamua kati ya huyo mwuaji na jamaa ya mtu aliyeuawa anayetaka kulipiza kisasi, kulingana na sheria hizi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 kusanyiko lazima waamue kati yake na mlipiza kisasi wa damu kufuatana na sheria hizi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 kusanyiko lazima liamue kati yake na mlipiza kisasi wa damu kufuatana na sheria hizi. Tazama sura |