Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 35:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 au kwa jiwe liwalo lote, ambalo kwa kupigwa kwalo humkini mtu kufa, bila kumwona akamtupia hata akafa, naye hakuwa adui yake, wala hakumtakia madhara;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 au mtu akirusha jiwe linaloweza kusababisha kifo, akamuua mtu bila kukusudia, ingawa hakuwa adui yake wala hakutaka kumdhuru,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 au mtu akirusha jiwe linaloweza kusababisha kifo, akamuua mtu bila kukusudia, ingawa hakuwa adui yake wala hakutaka kumdhuru,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 au mtu akirusha jiwe linaloweza kusababisha kifo, akamuua mtu bila kukusudia, ingawa hakuwa adui yake wala hakutaka kumdhuru,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 au, pasipo kumwona, akimwangushia jiwe ambalo laweza kumuua naye akafa, basi kwa kuwa hakuwa adui yake naye hakukusudia kumuumiza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 au, pasipo kumwona, akimwangushia jiwe ambalo laweza kumuua naye akafa, basi kwa kuwa hakuwa adui yake naye hakukusudia kumuumiza,

Tazama sura Nakili




Hesabu 35:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ikiwa alimsukuma ghafla pasipo kumchukia; au akamtupia kitu chochote pasipo kumvizia,


ndipo mkutano utaamua kati ya huyo aliyempiga mtu na huyo atakayelipiza kisasi cha damu, kama hukumu hizi zilivyo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo