Hesabu 35:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Mwenye kutwaa kisasi cha damu ndiye atakayemwua mwuaji; hapo atakapokutana naye, atamwua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Jamaa wa karibu wa mtu aliyeuawa atalipiza kisasi. Huyu atakapokutana na huyo mwuaji, atatekeleza hukumu ya kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Jamaa wa karibu wa mtu aliyeuawa atalipiza kisasi. Huyu atakapokutana na huyo mwuaji, atatekeleza hukumu ya kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Jamaa wa karibu wa mtu aliyeuawa atalipiza kisasi. Huyu atakapokutana na huyo mwuaji, atatekeleza hukumu ya kifo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji; wakati akikutana naye, atamuua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji; wakati akikutana naye, atamuua. Tazama sura |