Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 35:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Lakini kama alimpiga kwa chombo cha chuma, akafa, ni mwuaji huyo; mwuaji hakika yake atauawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Lakini mtu akimpiga mwenzake kwa kitu cha chuma, akafa, mtu huyo ni mwuaji na ni lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Lakini mtu akimpiga mwenzake kwa kitu cha chuma, akafa, mtu huyo ni mwuaji na ni lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Lakini mtu akimpiga mwenzake kwa kitu cha chuma, akafa, mtu huyo ni mwuaji na ni lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “ ‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “ ‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.

Tazama sura Nakili




Hesabu 35:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitakuhukumu, kama wahukumiwavyo wake walioolewa wazinio, na kumwaga damu, nami nitakupatiliza damu ya ghadhabu na wivu.


Na mtu ampigaye mtu hadi akafa, lazima atauawa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo