Hesabu 35:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Na hiyo miji mtakayowapa itakuwa kwenu ni miji sita ya kukimbilia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mtajitengea miji sita kwa ajili ya makimbilio. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mtajitengea miji sita kwa ajili ya makimbilio. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mtajitengea miji sita kwa ajili ya makimbilio. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio. Tazama sura |
Miji hiyo ndiyo miji iliyoamriwa kwa ajili ya wana wa Israeli wote, na kwa ajili ya mgeni akaaye kati yao ugenini, ili kwamba mtu yeyote atakayemwua mtu pasipo kukusudia apate kimbilia huko, asife kwa mkono wa mwenye kujilipiza kisasi cha damu, hadi hapo atakapokuwa amekwisha simama mbele ya mkutano.