Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 35:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Na hiyo miji mtakayowapa itakuwa kwenu ni miji sita ya kukimbilia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mtajitengea miji sita kwa ajili ya makimbilio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mtajitengea miji sita kwa ajili ya makimbilio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mtajitengea miji sita kwa ajili ya makimbilio.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio.

Tazama sura Nakili




Hesabu 35:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Haruni wakapewa miji ile ya kukimbilia, nayo ni Hebroni, tena Libna pamoja na viunga vyake, na Yatiri, na Eshtemoa pamoja na viunga vyake;


Na hiyo miji itakuwa kwenu kuwa makimbilio, kumkimbia mwenye kulipiza kisasi, ili asiuawe mwenye kumwua mtu, hata atakaposimama mbele ya mkutano ahukumiwe.


Mtawapa miji mitatu ng'ambo ya pili ya Yordani, na miji mitatu mtawapa katika nchi ya Kanaani; miji hiyo itakuwa ni miji ya makimbilio.


Na hiyo miji mtakayowapa Walawi, itakuwa miji sita ya kukimbilia, mtakayoweka kwa ajili ya mwenye kumwua mtu, ili akimbilie huko; pamoja na hiyo mtawapa miji arubaini na miwili zaidi.


Miji hiyo ndiyo miji iliyoamriwa kwa ajili ya wana wa Israeli wote, na kwa ajili ya mgeni akaaye kati yao ugenini, ili kwamba mtu yeyote atakayemwua mtu pasipo kukusudia apate kimbilia huko, asife kwa mkono wa mwenye kujilipiza kisasi cha damu, hadi hapo atakapokuwa amekwisha simama mbele ya mkutano.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo