Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 35:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapovuka mto wa Yordani na kuingia nchi ya Kanaani,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Waambie Waisraeli kwamba wakati mtakapovuka mto Yordani na kuingia nchini Kanaani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Waambie Waisraeli kwamba wakati mtakapovuka mto Yordani na kuingia nchini Kanaani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Waambie Waisraeli kwamba wakati mtakapovuka mto Yordani na kuingia nchini Kanaani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 “Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 “Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,

Tazama sura Nakili




Hesabu 35:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kama hakumvizia, ila Mungu amemtia mkononi mwake; basi nitakuonesha mahali atakapopakimbilia.


Hapo mtakapoingia nchi ya Kanaani, ambayo nawapa kuwa ni milki yenu, nami nitakapolitia pigo la ukoma katika nyumba ya nchi hiyo ya milki yenu;


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtakapoingia katika nchi niwapayo, ndipo hiyo nchi itashika Sabato kwa ajili ya BWANA.


Waagize wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapoingia nchi ya Kanaani, (hii ndiyo nchi itakayowaangukia kuwa urithi, maana, hiyo nchi ya Kanaani kama mipaka yake ilivyo,)


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


kwani hamjafikia bado katika raha na urithi akupao BWANA, Mungu wako.


Kisha BWANA akanena na Yoshua, na kumwambia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo