Hesabu 35:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Kisha BWANA akanena na Musa katika nchi tambarare za Moabu, karibu na mto wa Yordani, hapo Yeriko, akamwambia, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose katika tambarare za Moabu, ngambo ya mto Yordani karibu na Yeriko, akamwambia, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose katika tambarare za Moabu, ngambo ya mto Yordani karibu na Yeriko, akamwambia, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose katika tambarare za Moabu, ng'ambo ya mto Yordani karibu na Yeriko, akamwambia, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mwenyezi Mungu akamwambia Musa katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 bwana akamwambia Musa katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko, Tazama sura |