Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 34:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Na majina ya watu hao ni haya; katika kabila la Yuda, ni Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Haya ndiyo majina yao: Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Haya ndiyo majina yao: Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Haya ndiyo majina yao: Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Haya ndiyo majina yao: “Kalebu mwana wa Yefune, kutoka kabila la Yuda;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Haya ndiyo majina yao: “Kalebu mwana wa Yefune, kutoka kabila la Yuda;

Tazama sura Nakili




Hesabu 34:19
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akapata mimba tena, akazaa mwana. Akasema, Mara hii nitamsifu BWANA; kwa hiyo akamwita jina lake Yuda; akaacha kuzaa.


Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu, Na Efraimu ni kinga ya kichwa changu. Yuda ni fimbo yangu ya kifalme,


Kalebu akawatuliza watu mbele ya Musa, akasema, Na tupande mara moja tukaimiliki; maana twaweza kushinda bila shaka.


Na majina yao ni haya; katika kabila la Reubeni, Shamua mwana Zakuri.


Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.


lakini mtumishi wangu Kalebu, kwa kuwa alikuwa na roho nyingine ndani yake, naye amenifuata kwa moyo wote, nitamleta yeye mpaka nchi hiyo aliyoingia; na wazao wake wataimiliki.


hakika yangu hamtaingia ninyi katika nchi, ambayo niliapa kwa kuinua mkono wangu, kwamba nitawafanyia makao humo, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.


Na Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwao walioipeleleza nchi, wakararua nguo zao;


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Kisha mtamtwaa mkuu mmoja wa kila kabila, ili waigawanye nchi iwe urithi wenu.


isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, huyo ataiona; nami nitampa yeye na watoto wake nchi hiyo aliyoikanyaga; kwa kuwa amemfuata BWANA kwa kila neno.


Na baraka ya Yuda ni hii; akasema, Isikize, Ee BWANA, sauti ya Yuda, Umlete ndani kwa watu wake; Alijitetea kwa mikono yake; Nawe utakuwa msaada juu ya adui zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo