Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 34:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kisha mtamtwaa mkuu mmoja wa kila kabila, ili waigawanye nchi iwe urithi wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Utachukua pia kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia katika ugawaji wa nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Utachukua pia kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia katika ugawaji wa nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Utachukua pia kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia katika ugawaji wa nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 34:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,


Haya ndiyo majina ya watu watakaowagawanyia nchi iwe urithi wenu; Eleazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni.


Na majina ya watu hao ni haya; katika kabila la Yuda, ni Kalebu mwana wa Yefune.


Hao ndio BWANA aliowaagiza wawagawanyie urithi wana wa Israeli katika nchi ya Kanaani.


Hizi ndizo nchi, ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua huyo mwana wa Nuni, pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya makabila ya Waisraeli, walizigawanya kwa njia ya kupiga kura, ziwe urithi, huko Shilo mbele ya BWANA, hapo mlangoni mwa hema ya kukutania. Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo