Hesabu 34:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kisha mtamtwaa mkuu mmoja wa kila kabila, ili waigawanye nchi iwe urithi wenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Utachukua pia kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia katika ugawaji wa nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Utachukua pia kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia katika ugawaji wa nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Utachukua pia kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia katika ugawaji wa nchi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi. Tazama sura |
Hizi ndizo nchi, ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua huyo mwana wa Nuni, pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya makabila ya Waisraeli, walizigawanya kwa njia ya kupiga kura, ziwe urithi, huko Shilo mbele ya BWANA, hapo mlangoni mwa hema ya kukutania. Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi.