Hesabu 34:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 hayo makabila mawili na nusu ya kabila wamekwisha pata urithi wao huko ng'ambo ya pili ya Yordani, hapo Yeriko, upande wa mashariki, kuelekea maawio ya jua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Makabila hayo mawili na nusu yamepata urithi wao ngambo ya mto Yordani upande wa mashariki, mkabala wa Yeriko, mawioni.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Makabila hayo mawili na nusu yamepata urithi wao ngambo ya mto Yordani upande wa mashariki, mkabala wa Yeriko, mawioni.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Makabila hayo mawili na nusu yamepata urithi wao ng'ambo ya mto Yordani upande wa mashariki, mkabala wa Yeriko, mawioni.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Haya makabila mawili na nusu wamekwishapokea urithi wao upande wa mashariki wa Yordani ng’ambo ya Yeriko, kuelekea mawio ya jua.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Haya makabila mawili na nusu wamekwishapokea urithi wao upande wa mashariki wa Yordani ng’ambo ya Yeriko, kuelekea mawio ya jua.” Tazama sura |