Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 33:48 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

48 Wakasafiri kutoka hiyo milima ya Abarimu, wakapiga kambi katika nchi tambarare za Moabu, karibu na mto wa Yordani, hapo Yeriko.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Kutoka milima ya Abarimu, walisafiri na kupiga kambi yao katika tambarare za Moabu ngambo ya mto Yordani karibu na Yeriko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Kutoka milima ya Abarimu, walisafiri na kupiga kambi yao katika tambarare za Moabu ngambo ya mto Yordani karibu na Yeriko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Kutoka milima ya Abarimu, walisafiri na kupiga kambi yao katika tambarare za Moabu ng'ambo ya mto Yordani karibu na Yeriko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani, ng’ambo ya Yeriko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ng’ambo ya Yeriko.

Tazama sura Nakili




Hesabu 33:48
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha wana wa Israeli wakasafiri na kupanga katika nchi tambarare za Moabu ng'ambo ya pili ya Yordani karibu na Yeriko.


Kisha Musa na Eleazari kuhani wakanena nao katika nchi tambarare za Moabu karibu na mto wa Yordani, huko Yeriko, wakawaambia,


BWANA akamwambia Musa, Panda wewe juu ya mlima huu wa Abarimu, uitazame nchi niliyowapa wana wa Israeli.


kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi, na Naara, kisha ukafika Yeriko, na kutokea hapo penye mto wa Yordani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo