Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 32:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Wana wa Gadi, na wana wa Reubeni, wakajibu na kusema, Kama BWANA alivyotuambia sisi watumishi wako, ndivyo tutakavyofanya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Watu wa Gadi na wa Reubeni wakajibu, “Bwana, sisi tutafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyotuambia sisi watumishi wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Watu wa Gadi na wa Reubeni wakajibu, “Bwana, sisi tutafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyotuambia sisi watumishi wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Watu wa Gadi na wa Reubeni wakajibu, “Bwana, sisi tutafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyotuambia sisi watumishi wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile Mwenyezi Mungu alilosema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile bwana alilosema.

Tazama sura Nakili




Hesabu 32:31
4 Marejeleo ya Msalaba  

lakini ikiwa hawataki kuvuka pamoja nanyi, wakiwa wamevaa silaha zao, ndipo watakuwa na milki zao kati yenu katika nchi ya Kanaani.


Tutavuka, tukiwa tumevaa silaha zetu, mbele za BWANA, kuingia nchi ya Kanaani, nayo milki ya urithi wetu itakuwa ng'ambo ya pili ya Yordani.


Reubeni na aishi, asife; Lakini watu wake na wawe wachache.


Wakamjibu Yoshua, wakasema, Hayo yote uliyotuamuru tutayafanya, na kila mahali utakakotutuma tutakwenda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo