Hesabu 32:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 lakini sisi watumishi wako tutavuka, kila mwanamume aliyevaa silaha za vita, mbele za BWANA, tuende vitani, kama wewe bwana wangu usemavyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Lakini sisi watumishi wako tuko tayari kwenda vitani chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu. Tutavuka mto Yordani na kupigana, kama ulivyosema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Lakini sisi watumishi wako tuko tayari kwenda vitani chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu. Tutavuka mto Yordani na kupigana, kama ulivyosema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Lakini sisi watumishi wako tuko tayari kwenda vitani chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu. Tutavuka mto Yordani na kupigana, kama ulivyosema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ng’ambo kupigana mbele za Mwenyezi Mungu, sawa kama bwana wetu asemavyo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ng’ambo kupigana mbele za bwana, sawa kama bwana wetu anavyosema.” Tazama sura |