Hesabu 32:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Basi Musa akawaambia, Kama mtafanya jambo hili; kama mtajivika silaha, ili kutangulia mbele ya BWANA mwende vitani, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mose akawaambia, “Kama kweli mtafanya kama mlivyosema, basi papa hapa mbele ya Mwenyezi-Mungu, chukueni silaha zenu kwenda vitani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mose akawaambia, “Kama kweli mtafanya kama mlivyosema, basi papa hapa mbele ya Mwenyezi-Mungu, chukueni silaha zenu kwenda vitani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mose akawaambia, “Kama kweli mtafanya kama mlivyosema, basi papa hapa mbele ya Mwenyezi-Mungu, chukueni silaha zenu kwenda vitani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kisha Musa akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za Mwenyezi Mungu kwa ajili ya vita, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kisha Musa akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za bwana kwa ajili ya vita, Tazama sura |