Hesabu 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Basi wakamwendea karibu, na kusema, Sisi tutafanya mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu, na kujenga miji kwa ajili ya watoto wetu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Basi, wakamwendea Mose, wakamwambia, “Kwanza turuhusu tuwajengee kondoo wetu mazizi, na watoto wetu miji hapa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Basi, wakamwendea Mose, wakamwambia, “Kwanza turuhusu tuwajengee kondoo wetu mazizi, na watoto wetu miji hapa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Basi, wakamwendea Mose, wakamwambia, “Kwanza turuhusu tuwajengee kondoo wetu mazizi, na watoto wetu miji hapa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ndipo wakamjia Musa na kumwambia, “Tungetaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Ndipo wakamjia Musa na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto. Tazama sura |