Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 31:52 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

52 Na dhahabu yote ya sadaka ya kuinuliwa waliyosongeza kwa BWANA, ya makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, ilikuwa shekeli elfu kumi na sita, mia saba na hamsini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Jumla ya dhahabu yote waliyomtolea Mwenyezi-Mungu ilikuwa karibu kilo 200.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Jumla ya dhahabu yote waliyomtolea Mwenyezi-Mungu ilikuwa karibu kilo 200.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Jumla ya dhahabu yote waliyomtolea Mwenyezi-Mungu ilikuwa karibu kilo 200.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Musa na kuhani Eleazari walimletea Mwenyezi Mungu kama zawadi ilikuwa shekeli elfu kumi na sita, mia saba na hamsini (16,750).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Musa na kuhani Eleazari walimletea bwana kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750.

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:52
2 Marejeleo ya Msalaba  

Musa na Eleazari kuhani wakapokea kwao hiyo dhahabu, maana, vile vyombo vyote vilivyofanyizwa.


(Kwa kuwa wanajeshi walikuwa wamechukua nyara kila mtu zake binafsi.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo