Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 31:51 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

51 Musa na Eleazari kuhani wakapokea kwao hiyo dhahabu, maana, vile vyombo vyote vilivyofanyizwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea vitu vyote vilivyonakshiwa kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea vitu vyote vilivyonakshiwa kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 Mose na kuhani Eleazari wakapokea vitu vyote vilivyonakshiwa kwa dhahabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 Musa na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 Musa na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:51
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nasi tumeleta matoleo ya BWANA, aliyopata kila mtu, ya vyombo vya dhahabu, na mitali, na timbi, na pete za mhuri, na vipini, na vikuku, ili kuzifanyia upatanisho nafsi zetu mbele ya BWANA.


Na dhahabu yote ya sadaka ya kuinuliwa waliyosongeza kwa BWANA, ya makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, ilikuwa shekeli elfu kumi na sita, mia saba na hamsini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo