Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 31:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

42 Tena katika hiyo nusu iliyokuwa ya wana wa Israeli, ambayo Musa aliitenga na watu waliokwenda vitani,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Ile nusu waliopewa Waisraeli, ambayo Mose aliitenga na ile nusu waliyopewa wanajeshi waliokwenda vitani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Ile nusu waliopewa Waisraeli, ambayo Mose aliitenga na ile nusu waliyopewa wanajeshi waliokwenda vitani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Ile nusu waliopewa Waisraeli, ambayo Mose aliitenga na ile nusu waliyopewa wanajeshi waliokwenda vitani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Musa aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliopigana vitani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Musa aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:42
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Musa akampa Eleazari kuhani hiyo sehemu, iliyokuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


(basi hiyo nusu ya mkutano ilikuwa ni kondoo elfu mia tatu na thelathini na saba na mia tano,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo