Hesabu 31:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 twaa katika nusu yao, ukampe Eleazari kuhani, kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 umpe kuhani Eleazari kuwa sadaka kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 umpe kuhani Eleazari kuwa sadaka kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 umpe kuhani Eleazari kuwa sadaka kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kuwa sehemu ya Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya bwana. Tazama sura |