Hesabu 31:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Nanyi mtazifua nguo zenu siku ya saba, nanyi mtakuwa safi, kisha baadaye mtaingia kambini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Siku ya saba ni lazima muyafue mavazi yenu; ndipo mtakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia kambini.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Siku ya saba ni lazima muyafue mavazi yenu; ndipo mtakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia kambini.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Siku ya saba ni lazima muyafue mavazi yenu; ndipo mtakapokuwa safi na kuruhusiwa kuingia kambini.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.” Tazama sura |