Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 31:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Kisha Eleazari kuhani akawaambia wanaume wa vita wote waliokwenda vitani, Hii ndiyo amri ya sheria BWANA aliyomwagiza Musa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kuhani Eleazari akawaambia wanaume waliorudi vitani, “Hii ndiyo sheria ambayo Mwenyezi-Mungu amempa Mose.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kuhani Eleazari akawaambia wanaume waliorudi vitani, “Hii ndiyo sheria ambayo Mwenyezi-Mungu amempa Mose.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kuhani Eleazari akawaambia wanaume waliorudi vitani, “Hii ndiyo sheria ambayo Mwenyezi-Mungu amempa Mose.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wameenda vitani, “Haya ndio matakwa ya sheria ambayo Mwenyezi Mungu alimpa Musa:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo bwana alimpa Musa:

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Hizi ndizo amri, ambazo BWANA alimwagiza Musa, kati ya mtu mume na mkewe, kati ya baba na binti yake, katika ujana wake, akiwa nyumbani mwa babaye.


Na kuhusu kila nguo, na kila kitu kilichofanywa cha ngozi, na kazi yote ya singa za mbuzi, na vyombo vyote vilivyofanywa vya mti, mtajitakasa wenyewe;


lakini dhahabu, na fedha, na shaba, na chuma, na bati, na risasi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo