Hesabu 31:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Basi Musa, na Eleazari kuhani, na wakuu wote wa huo mkutano, wakatoka nje kwenda kuwalaki nje ya kambi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Mose, kuhani Eleazari, na viongozi wote wa jumuiya ya Waisraeli walitoka kambini, wakaenda kuwalaki wanajeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Mose, kuhani Eleazari, na viongozi wote wa jumuiya ya Waisraeli walitoka kambini, wakaenda kuwalaki wanajeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Mose, kuhani Eleazari, na viongozi wote wa jumuiya ya Waisraeli walitoka kambini, wakaenda kuwalaki wanajeshi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Musa, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Musa, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi. Tazama sura |