Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 3:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

49 Basi Musa akawatoza fedha za ukombozi, hao waliozidi hesabu ya wale waliokombolewa na Walawi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Mose akatii, akachukua fedha hizo za fidia ya hao waliozidi idadi ya waliofidiwa na Walawi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Mose akatii, akachukua fedha hizo za fidia ya hao waliozidi idadi ya waliofidiwa na Walawi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Mose akatii, akachukua fedha hizo za fidia ya hao waliozidi idadi ya waliofidiwa na Walawi;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Kwa hiyo Musa akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Kwa hiyo Musa akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 3:49
2 Marejeleo ya Msalaba  

na hizo fedha ambazo walizidi wamekombolewa kwazo utampa Haruni na wanawe.


akatwaa hizo fedha kwa wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli; shekeli elfu moja na mia tatu na sitini na tano kwa shekeli ya mahali patakatifu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo