Hesabu 29:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Tena siku ya tatu mtasongeza ng'ombe dume kumi na mmoja, na kondoo dume wawili, na wana-kondoo dume wa mwaka mmoja wasio na dosari kumi na wanne; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 “Siku ya tatu mtatoa: Fahali kumi na mmoja, kondoo wawili, wanakondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wasio na dosari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 “Siku ya tatu mtatoa: Fahali kumi na mmoja, kondoo wawili, wanakondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wasio na dosari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 “Siku ya tatu mtatoa: fahali kumi na mmoja, kondoo wawili, wanakondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wasio na dosari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 “ ‘Katika siku ya tatu, andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 “ ‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari. Tazama sura |