Hesabu 27:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 atakayetoka mbele yao, na kuingia mbele yao; atakayewaongoza watokapo, na kuwaleta ndani; ili watu wa BWANA wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 ambaye atawatangulia na kuwaongoza katika shughuli zao zote, ili wasije wakawa kama kondoo wasio na mchungaji.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 ambaye atawatangulia na kuwaongoza katika shughuli zao zote, ili wasije wakawa kama kondoo wasio na mchungaji.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 ambaye atawatangulia na kuwaongoza katika shughuli zao zote, ili wasije wakawa kama kondoo wasio na mchungaji.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa Mwenyezi Mungu wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa bwana wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.” Tazama sura |