Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:56 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

56 Kama kura itakavyokuwa, ndivyo urithi wao utakavyogawanywa kati yao, hao wengi na hao wachache.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

56 Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

56 Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

56 Urithi wa kila kabila utagawanywa kwa kura, kila kabila litapata kulingana na ukubwa au udogo wake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

56 Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

56 Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:56
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa mtaigawanya kwa kura, kuwa urithi kwenu, na kwa wageni wakaao kwenu kama ugeni, watakaozaa watoto kati yenu, nao watakuwa kwenu, kama wazaliwa miongoni mwa wana wa Israeli; watakuwa na urithi pamoja nanyi kati ya makabila ya Israeli.


Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi.


Na hao waliohesabiwa katika Walawi kwa jamaa zao ni hawa; wa Gershoni, jamaa ya Wagershoni; na wa Kohathi, jamaa ya Wakohathi; na wa Merari, jamaa ya Wamerari.


Imekuwaje basi? Kitu kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta hakukipata; lakini wale waliochaguliwa walikipata, na wengine walitiwa ugumu.


Basi kuna karama tofauti; bali Roho ni yeye yule.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo