Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 26:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

30 Hawa ndio wana wa Gileadi; wa Abiezeri, jamaa ya Waabiezeri; wa Heleki, jamaa ya Waheleki;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Yezeri, Heleki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Yezeri, Heleki,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Yezeri, Heleki,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Hawa walikuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

na wa Asrieli, jamaa ya Waasrieli; na wa Shekemu, jamaa ya Washekemu;


Na kura ilikuwa ni ya hao wana wa Manase waliosalia kwa kufuata jamaa zao; kwa wana wa Abiezeri, kwa wana wa Heleki, kwa wana wa Asrieli, kwa wana wa Shekemu, kwa wana wa Heferi na kwa wana wa Shemida; hao ndio wana wa kiume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kufuata jamaa zao.


Malaika wa BWANA akaenda akaketi chini ya mwaloni uliokuwa katika Ofra, uliokuwa mali yake Yoashi, Mwaabiezeri; na mwanawe Gideoni alikuwa akipepeta ngano ndani ya shinikizo, ili kuificha machoni pa Wamidiani.


Ndipo Gideoni akamjengea BWANA madhabahu hapo, akaiita jina lake, Yehova-Shalomu; hata hivi leo iko huko katika Ofra ya Waabiezeri.


Lakini Roho ya BWANA ikamjia juu yake Gideoni; naye akapiga tarumbeta; na Abiezeri walikutanika na kumfuata.


Lakini akawaambia, Je! Niliyoyafanya ni nini yakilinganishwa na yale mliyofanya ninyi? Hayo masazo ya zabibu za Efraimu si mema kuliko mavuno ya Abiezeri?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo