Hesabu 24:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kisha akamwangalia Amaleki, akatunga mithali yake, akasema, Amaleki alikuwa ni wa kwanza wa mataifa; Lakini mwisho wake atapata uharibifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Kisha Balaamu akawaangalia Waamaleki, akatoa kauli hii: “Amaleki ni taifa lenye nguvu kuliko yote, lakini mwishoni litaangamia kabisa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Kisha Balaamu akawaangalia Waamaleki, akatoa kauli hii: “Amaleki ni taifa lenye nguvu kuliko yote, lakini mwishoni litaangamia kabisa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Kisha Balaamu akawaangalia Waamaleki, akatoa kauli hii: “Amaleki ni taifa lenye nguvu kuliko yote, lakini mwishoni litaangamia kabisa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake: “Amaleki alikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa, lakini mwisho wake ataangamizwa milele.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake: “Amaleki ilikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa, lakini mwisho wake itaangamizwa milele.” Tazama sura |