Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 23:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Akarudi kwake, na tazama, amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, yeye na wakuu wote wa Moabu pamoja naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Balaamu akarudi, akamkuta Balaki amesimama palepale karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, pamoja na maofisa wote wa Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Balaamu akarudi, akamkuta Balaki amesimama palepale karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, pamoja na maofisa wote wa Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Balaamu akarudi, akamkuta Balaki amesimama palepale karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, pamoja na maofisa wote wa Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Basi Balaamu akarudi kwa Balaki, akamkuta amesimama kando ya sadaka yake akiwa na wakuu wote wa Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Basi Balaamu akarudi kwa Balaki, akamkuta amesimama kando ya sadaka yake akiwa na wakuu wote wa Moabu.

Tazama sura Nakili




Hesabu 23:6
3 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akatia neno katika kinywa chake Balaamu, akasema, Umrudie Balaki; ukaseme maneno haya.


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.


Na wana wa Lawi walikuwa ni hawa kwa majina yao; Gershoni, na Kohathi, na Merari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo