Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 23:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Balaamu akamwambia Balaki, Haya, unijengee hapa madhabahu saba, kisha uniandalie ng'ombe dume saba, na kondoo dume saba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Balaamu akamwambia Balaki, “Nijengee madhabahu saba hapa, unitayarishie fahali saba na kondoo madume saba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Balaamu akamwambia Balaki, “Nijengee madhabahu saba hapa, unitayarishie fahali saba na kondoo madume saba.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Balaamu akamwambia Balaki, “Nijengee madhabahu saba hapa, unitayarishie fahali saba na kondoo madume saba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, uandae mafahali saba na kondoo dume saba kwa ajili yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, uandae mafahali saba na kondoo dume saba kwa ajili yangu.”

Tazama sura Nakili




Hesabu 23:29
4 Marejeleo ya Msalaba  

hata ikawa, Mungu alipowajalia Walawi waliolichukua sanduku la Agano la BWANA, wakachinja ng'ombe saba, na kondoo dume saba.


Basi Balaki akamchukua Balaamu akaenda naye mpaka kilele cha mlima Peori, mahali paelekeapo upande wa nyika iliyo chini yake.


Basi Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema, akasongeza sadaka ng'ombe dume na kondoo dume juu ya kila madhabahu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo