Hesabu 22:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Balaamu akamwambia punda, “Wewe umenidhihaki! Kama ningekuwa na upanga ningalikuulia mbali sasa hivi!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Balaamu akamwambia punda, “Wewe umenidhihaki! Kama ningekuwa na upanga ningalikuulia mbali sasa hivi!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Balaamu akamwambia punda, “Wewe umenidhihaki! Kama ningekuwa na upanga ningalikuulia mbali sasa hivi!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningekuwa na upanga mkononi mwangu, ningekuua sasa hivi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningelikuwa na upanga mkononi mwangu, ningelikuua sasa hivi.” Tazama sura |