Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 22:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Balaamu akamwambia punda, “Wewe umenidhihaki! Kama ningekuwa na upanga ningalikuulia mbali sasa hivi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Balaamu akamwambia punda, “Wewe umenidhihaki! Kama ningekuwa na upanga ningalikuulia mbali sasa hivi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Balaamu akamwambia punda, “Wewe umenidhihaki! Kama ningekuwa na upanga ningalikuulia mbali sasa hivi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningekuwa na upanga mkononi mwangu, ningekuua sasa hivi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningelikuwa na upanga mkononi mwangu, ningelikuua sasa hivi.”

Tazama sura Nakili




Hesabu 22:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.


Mwenye haki huufikiri uhai wa mnyama wake; Bali huruma za mtu mwovu ni ukatili.


Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La!


Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wizi, ushuhuda wa uongo, na matukano;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo