Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 22:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Yule punda akamwona malaika wa BWANA, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Punda alipomwona huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, akalala chini. Balaamu akawaka hasira, akampiga kwa fimbo yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Punda alipomwona huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, akalala chini. Balaamu akawaka hasira, akampiga kwa fimbo yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Punda alipomwona huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, akalala chini. Balaamu akawaka hasira, akampiga kwa fimbo yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Punda alipomwona malaika wa Mwenyezi Mungu, alilala chini Balaamu angali amempanda, naye Balaamu akakasirika na kumpiga kwa fimbo yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Punda alipomwona malaika wa bwana, alilala chini Balaamu angali amempanda, naye Balaamu akakasirika na kumpiga kwa fimbo yake.

Tazama sura Nakili




Hesabu 22:27
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Malaika wa BWANA akaenda mbele akasimama mahali pembamba sana, hapakuwa na nafasi ya kugeukia mkono wa kulia, wala mkono wa kushoto.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo