Hesabu 22:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 maana nitakutunukia heshima kubwa sana, na neno lolote utakaloniomba nitalitenda; basi njoo, nakusihi, unilaanie watu hawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Nitakutunukia heshima kubwa, na chochote utakachoniomba nitakutimizia. Njoo uwalaani watu hawa.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Nitakutunukia heshima kubwa, na chochote utakachoniomba nitakutimizia. Njoo uwalaani watu hawa.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Nitakutunukia heshima kubwa, na chochote utakachoniomba nitakutimizia. Njoo uwalaani watu hawa.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 kwa sababu nitakulipa vizuri sana na kufanya lolote usemalo. Njoo unilaanie watu hawa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 kwa sababu nitakulipa vizuri sana na kufanya lolote usemalo. Njoo unilaanie watu hawa.” Tazama sura |