Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 20:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Musa akafanya kama BWANA alivyomwagiza; wakakwea katika mlima wa Hori mbele ya macho ya mkutano wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Mose alifanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Wote watatu walipanda mlimani mbele ya jumuiya yote ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Mose alifanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Wote watatu walipanda mlimani mbele ya jumuiya yote ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Mose alifanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu. Wote watatu walipanda mlimani mbele ya jumuiya yote ya watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Musa akafanya kama Mwenyezi Mungu alivyomwagiza: Wakapanda Mlima Hori mbele ya macho ya jumuiya yote ya Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Musa akafanya kama bwana alivyomwagiza: Wakapanda Mlima Hori mbele ya macho ya jumuiya yote ya Kiisraeli.

Tazama sura Nakili




Hesabu 20:27
3 Marejeleo ya Msalaba  

umvue Haruni mavazi yake, ukamvike Eleazari mwanawe mavazi hayo; kisha Haruni atakusanywa kwa watu wake, naye atakufa huko.


Kisha Musa akamvua Haruni mavazi yake, akamvika mwanawe Eleazari mavazi hayo; Haruni akafa huko katika kilele cha mlima; Musa na Eleazari wakateremka mlimani.


Wakasafiri kutoka mlima wa Hori kwa njia ya Bahari ya Shamu; ili kuizunguka nchi ya Edomu, watu wakafa moyo kwa sababu ya ile njia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo