Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 20:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 BWANA akanena na Musa na Haruni katika mlima wa Hori, karibu na mpaka wa nchi ya Edomu, akawaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Aroni huko kwenye Mlima Hori, mpakani mwa nchi ya Edomu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Aroni huko kwenye Mlima Hori, mpakani mwa nchi ya Edomu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Aroni huko kwenye Mlima Hori, mpakani mwa nchi ya Edomu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwenye Mlima Hori, karibu na mpaka wa Edomu, Mwenyezi Mungu akamwambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwenye Mlima Hori, karibu na mpaka wa Edomu, bwana akamwambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili




Hesabu 20:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

Haruni atakusanywa awe pamoja na watu wake; kwa kuwa hataingia katika nchi niliyowapa wana wa Israeli, kwa sababu mliasi kinyume cha neno langu hapo penye maji ya Meriba.


Wakasafiri kutoka Kadeshi wakapiga kambi katika mlima wa Hori, katika mpaka wa nchi ya Edomu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo