Hesabu 18:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Na sadaka yenu ya kuinuliwa itahesabiwa kwenu, kama ndiyo nafaka ya sakafu ya kupuria, na kama kujaa kwake kinu cha kusindikia zabibu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Sadaka hii yenu itakubaliwa kuwa kama malimbuko ya nafaka au kama zabibu anazonitolea mkulima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Sadaka hii yenu itakubaliwa kuwa kama malimbuko ya nafaka au kama zabibu anazonitolea mkulima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Sadaka hii yenu itakubaliwa kuwa kama malimbuko ya nafaka au kama zabibu anazonitolea mkulima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Sadaka yenu itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka sakafu ya kupuria, au divai kutoka shinikizo la kukamulia zabibu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Sadaka yenu itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka sakafu ya kupuria, au divai kutoka kwenye shinikizo la kukamulia zabibu. Tazama sura |