Hesabu 16:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC49 Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema49 Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND49 Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza49 Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu49 Lakini walikufa watu elfu kumi na nne na mia saba kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu49 Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora. Tazama sura |