Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 16:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

49 Basi waliokufa kwa tauni walikuwa elfu kumi na nne na mia saba, zaidi ya hao waliokufa katika jambo la Kora.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Idadi ya watu waliokufa kwa pigo ilikuwa 14,700, bila kuhesabu wale waliokufa kutokana na uasi wa Kora.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Lakini walikufa watu elfu kumi na nne na mia saba kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.

Tazama sura Nakili




Hesabu 16:49
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi BWANA akawaletea Israeli tauni; nao wakaanguka wa Israeli watu elfu sabini.


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa.


Haruni akamrudia Musa pale mlangoni pa hema ya kukutania; hiyo tauni ikazuiwa.


Nao waliokufa kwa pigo hilo idadi yao ilikuwa elfu ishirini na nne.


Wala msinung'unike, kama wengine wao walivyonung'unika, wakauawa na mharibifu.


Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo