Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

40 ili mpate kukumbuka na kuyafanya maagizo yangu yote, na kuwa watakatifu kwa Mungu wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Vishada hivyo vitawakumbusha amri zangu zote na mtazifuata zote kikamilifu, nanyi mtakuwa watakatifu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Vishada hivyo vitawakumbusha amri zangu zote na mtazifuata zote kikamilifu, nanyi mtakuwa watakatifu wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Vishada hivyo vitawakumbusha amri zangu zote na mtazifuata zote kikamilifu, nanyi mtakuwa watakatifu wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu.

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:40
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa wale walishikao agano lake, Na kuyakumbuka maagizo yake ili wayafanye.


Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu.


Kwa hiyo mtayashika maagizo yangu, na kuyafanya; mimi ndimi BWANA.


Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.


kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.


kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, walioko Kolosai. Neema na iwe kwenu, na amani, zitokazo kwa Mungu Baba yetu.


Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo