Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 15:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Nena na wana wa Israeli, na kuwaambia, Mtakapoingia nchi yenu ya kukaa, niwapayo,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Waambie Waisraeli kwamba mtakapofika katika nchi ninayowapeni ambamo mtaishi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Waambie Waisraeli kwamba mtakapofika katika nchi ninayowapeni ambamo mtaishi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Waambie Waisraeli kwamba mtakapofika katika nchi ninayowapeni ambamo mtaishi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo mtakapoingia nchi ya Kanaani, ambayo nawapa kuwa ni milki yenu, nami nitakapolitia pigo la ukoma katika nyumba ya nchi hiyo ya milki yenu;


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtakapoingia katika hiyo nchi niwapayo, na kuyavuna mavuno yake, ndipo mtakapomletea kuhani mganda wa malimbuko ya mavuno yenu;


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtakapoingia katika nchi niwapayo, ndipo hiyo nchi itashika Sabato kwa ajili ya BWANA.


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapoingia nchi niwapelekayo,


Hizi ndizo amri na hukumu mtakazofuataa kuzifanya katika nchi aliyokupa BWANA, Mungu wa baba zako, uimiliki, siku zote mtakazoishi juu ya nchi.


kwani hamjafikia bado katika raha na urithi akupao BWANA, Mungu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo