Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 14:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, walibaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, walibaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, walibaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Miongoni mwa watu walioenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

Tazama sura Nakili




Hesabu 14:38
5 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.


watu hao walioileta habari mbaya ya nchi wakafa kwa tauni mbele ya BWANA.


Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli wote maneno haya, na hao watu wakaomboleza sana.


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo