Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 14:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Lakini katika habari zenu, maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Lakini nyinyi, mtafia humuhumu jangwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Lakini nyinyi, mtafia humuhumu jangwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Lakini nyinyi, mtafia humuhumu jangwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Bali ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Lakini ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.

Tazama sura Nakili




Hesabu 14:32
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,


mizoga yenu itaanguka katika jangwa hili, na wote waliohesabiwa miongoni mwenu, kama jumla ya hesabu yenu, tangu waliopata umri wa miaka ishirini na zaidi, hao walioninung'unikia,


Lakini katika watu hao hapakuwa na mtu hata mmoja wa wale waliohesabiwa na Musa na Haruni kuhani; waliowahesabu wana wa Israeli katika bara ya Sinai.


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Na hasira za BWANA ziliwaka juu ya Israeli, naye akawatembeza huku na huko jangwani muda wa miaka arubaini, hata kizazi hicho kizima kilichokuwa kimefanya uovu machoni pa BWANA kilipoisha angamia.


Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.


Tena ni akina nani aliochukizwa nao miaka arubaini? Si wale waliokosa, ambao mizoga yao ilianguka katika jangwa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo