Hesabu 14:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Waambieni, Kama niishivyo, asema BWANA, hakika yangu kama ninyi mlivyonena masikioni mwangu, ndivyo nitakavyowafanyia ninyi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Sasa wajibu hivi: Kama niishivyo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, nitawatendeeni yaleyale niliyosikia mkiyasema: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Sasa wajibu hivi: Kama niishivyo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, nitawatendeeni yaleyale niliyosikia mkiyasema: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Sasa wajibu hivi: Kama niishivyo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, nitawatendeeni yaleyale niliyosikia mkiyasema: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema Mwenyezi Mungu, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema bwana, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema: Tazama sura |