Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 14:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Basi sasa nakusihi sana, uweza wa Bwana wangu na uwe mkuu, kama ulivyonena, uliposema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, sasa nakusihi, ee Mwenyezi-Mungu, utuoneshe uwezo wako kwa kufanya kama ulivyotuahidi uliposema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, sasa nakusihi, ee Mwenyezi-Mungu, utuoneshe uwezo wako kwa kufanya kama ulivyotuahidi uliposema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, sasa nakusihi, ee Mwenyezi-Mungu, utuoneshe uwezo wako kwa kufanya kama ulivyotuahidi uliposema,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 “Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na ulivyosema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 “Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na vile ulivyosema:

Tazama sura Nakili




Hesabu 14:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi, hakika nimejaa nguvu kwa Roho ya BWANA; nimejaa hukumu na uwezo; nimhubirie Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.


Ni kwa sababu yeye BWANA hakuweza kuwaleta watu hao kuwatia katika nchi aliyowaapia, kwa ajili ya hayo amewaua nyikani.


BWANA ni mpole wa hasira, mwingi wa rehema, mwenye kusamehe uovu na makosa, naye hatamfanya mwenye hatia kuwa hana makosa kwa njia yoyote; mwenye kuwapatiliza wana kwa uovu wa baba zao, katika kizazi cha tatu na cha nne.


Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwenye kupooza) Inuka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako.


Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo