Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Hesabu 13:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Wakarejea baada ya kuipeleleza nchi, mwisho wa siku arubaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Baada ya kuipeleleza nchi kwa muda wa siku arubaini, watu hao walirudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Baada ya kuipeleleza nchi kwa muda wa siku arubaini, watu hao walirudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Baada ya kuipeleleza nchi kwa muda wa siku arubaini, watu hao walirudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Mwishoni mwa siku arobaini wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 13:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda mlimani; Musa akawa humo katika ule mlima siku arubaini, mchana na usiku.


Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arubaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.


Bonde lile liliitwa bonde la Eshkoli kwa sababu ya hicho kishada walichokata huko wana wa Israeli.


Wakaenda wakafika kwa Musa, na kwa Haruni, na kwa mkutano wote wa wana wa Israeli, katika jangwa la Parani, huko Kadeshi; wakawaletea habari, wao na mkutano wote, wakawaonesha matunda ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo