Hesabu 13:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Bonde lile liliitwa bonde la Eshkoli kwa sababu ya hicho kishada walichokata huko wana wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Mahali hapo paliitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka mahali hapo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Mahali hapo paliitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka mahali hapo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Mahali hapo paliitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya shada ambalo watu hao wa Israeli walikata kutoka mahali hapo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko. Tazama sura |